Mike Pompeo, Steve Bannon, Peter Navarro, au Alex Azar ni miongoni mwa maafisa wakuu katika utawala wa rais Trump ambao wamewekewa vikwazo na China wiki hii.
Mwanamuziki wa miondoko ya kufokafoka Lil Wayne na Kodak Black walikuwa miongoni mwa orodha ya watu 140 waliosamehewa kifungo na aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump,
Nyota wa rap Lil Wayne na Kodak Black walikuwa kwenye orodha ya watu zaidi ya 140 ambao walipewa msamaha na Rais wa Marekani anayemaliza muda wake Donald Trump